Sunday, April 30, 2017

tetemeko Bukoba wananchi wanena

Habari ya muda huu na usiku huu mnene,

Bukoba tena. Tetemeko lililodumu kwa takribani dakika moja na nusu limepita muda huu mjini Bukoba. Baadhi ya wananchi ambao bado tunakumbuka ya tarehe 10/09/2016 tumejikuta tukikimbia nje na watoto wetu.

Sasa nimeanza kuamini Bukoba sio salama sana kwa matetemeko.

0 comments:

Post a Comment