Tuesday, January 24, 2017

Laac yakataa taarifa ya mradi Dodoma



Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Hesabu za
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Hesabu za serikali za mitaa(Laac), Vedasto Ngombale amesema kilichobainika kwenye mradi huo umetekelezwa kinyume na mkataba unavyoainisha kutokana na wananchi kutotekeleza majukumu yao yaliyoanishwa kwenye mkataba. 

0 comments:

Post a Comment