Friday, January 12, 2018

LEO KATIKA HISTORIA:

Mwaka1964: Wazanzibari wapigania Uhuru waliipindua Serikali ya Sultan Jamshid bin Abullah na kuanzisha utawala wao huru chini ya Abeid Amani Karume. Miezi mitatu baadaye Zanzibar iliungana na Tanganyika kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

0 comments:

Post a Comment