Saturday, January 6, 2018

Rais Magufuli atia hodi mwaisela kumjulia hali Kingunge. Soma zaidi>>>

Rais Magufuli amjulia hali Mzee Kingunge Ngomable Mwiru aliyelazwa katika wodi ya Mwaisela, hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.

Mzee Kingunge amelazwa hospitalini hapo akitibiwa majeraha baada ya kushambuliwa na mbwa nyumbani kwake Jijini Dar es Salaam.

Hali ya Mzee Kingunge inaendelea vizuri

Instagram @tanzania.beauty

Facebook : Tanzania Beauty 🚩

Tweeter : @tanzaniabeauty

0 comments:

Post a Comment