Thursday, January 11, 2018

Miaka 54 Ya Mapinduzi Ya Zanzibar

Leo ni siku muhimu sana kwa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambapo wanakumbuka namna walivyoweza kupindua utawala wa Kikoloni kutoka kwa Sultan ambapo kwenye utawala huo hakukuwa na haki na usawa kwa Wazanzibar, ukweli utabaki palepale kuwa Mapinduzi ya Zanzibar yana thamani kubwa sana katika maisha ya wakazi wa Visiwani humo.

Mzee Omar Msongoro, mmoja wa waliokuwa wapiganaji mstari wa mbele ili kufanikisha Mapinduzi Matakatifu amesema kuwa siku hiyo January 12 mwaka 1964 wakati Mapinduzi hayo yanatokea tayari kulikuwa kuna maandalizi yaliyokwisha andaliwa kupitia kanda tofauti za Visiwani humo....
Tanzania Beauty 🚩 🚩 🚩

0 comments:

Post a Comment