Saturday, January 6, 2018

Tundu Lissu anaelekea Ubelgiji kwa matibabu zaidi

‪NAIROBI, KENYA: Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu(CHADEMA) leo Saa 2.30 asubuhi anaondoka jijini Nairobi kwenda Ubelgiji kwa matibabu zaidi

- Lissu anaendelea na matibabu kufuatia shambulizi lililofanyika dhidi yake huko Dodoma na kupigwa risasi 16 huku 8 zikimwingia mwilini na 7 zimeshatolewa na madaktari wa Dodoma na Nairobi

Tanzania Beauty 🚩🚩🚩

0 comments:

Post a Comment