Saturday, January 13, 2018

Rais wa Rwanda Amesha tua uwanja wa ndege wa JK

Rais wa Rwanda, Paul Kagame amewasili Uwanja wa ndege Julius Nyerere kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku moja nchini.

Endelea kufuatilia mitandao yetu kwa taarifa zaidi.

@tanzania.beauty #tanzaniaBeauty #tzbeauty

0 comments:

Post a Comment