Saturday, January 6, 2018

Mapindi Cup 2018

MSIMAMO: Kabla taifa halijashuhudia mchezo mkali katika michuano ya #MapinduziCup2018 utakaowakutanisha mabingwa watetezi Azam FC dhidi ya mabingwa wa kihistoria wa michuano hiyo, Simba SC saa 2:15 usiku wa leo, msimamo katika makundi yote umekaa hivi....

Kwa msimamo huu, Azam ikifungwa leo, inakuwa imeaga mashindano kwa kuwa huu ndiyo mchezo wake wa mwisho, lakini Simba bado itakuwa na mchezo mmoja, hivyo ikifungwa leo, itabidi kusubiri matokeo yake ya mchezo wa mwisho.

Fuatilia michuano hii kupitia Facebook page yetu ya hapa itakupa majibu mbashara kutoka dimba la Amaan Zanzibar. na instragram page yetu ya @tanzania.beauty

0 comments:

Post a Comment