Wednesday, January 17, 2018

Sisi Hatujakataza uvaaji wowote wa nguo-Lazaro Mambosasa

‘Hili suala la Kuzuia vimini na viduku limezushwa, Mimi niliitisha Press kuelezea mafanikio ya Jeshi la Polisi Kwa kanda maalum Kwa kipindi hiki cha sikukuu kilichopita.
.
Na hili swali niliulizwa nikasema kuwa linavunja maadili na huu si utaratibu wetu ni watu wa magharibi si maadili yetu kabisa lakini kwetu bado sio kosa kisheria.’ - Kamanda wa Polisi Dar Lazaro Mambosasa akifafanunua kuhusu taarifa ya kukataza watu kuvaa nguo fupi on Power Breakfast-CloudsFm

0 comments:

Post a Comment